Articles

MAANA YA MACHOZI YA MUKRISTO MBELE ZA MUNGU WA MIUNGU

Image
USOMI : Waebrania 5:7 ; Yohana 11:35 ; Zaburi 126:5 ; Ufunuo 7:17 Kwa Utangulizi wa hili somo; kwanza nianze kukupa tahazari ; sababu kila mtu ana mutazamo wake wa kipeke (interpretation) kuhusu kuliya au kutoa machozi mbele za Mungu sababu ya jambo fulani fulani isiyo kuwa ya kawaida maishani mwake : 1.   Machozi kwenye maombi mbele za Mungu kamwe haitokani na mtu binafsi ; kwa hiyo  si vema kulazimisha mtu kuliya au kumunyamazisha anapoliya mbele za Mungu kama hakuna uongozi wa Roho wa Mungu ; sababu hatujuwi kuomba ndivyo neno la Mungu linasema katika kitabu cha Warumi 8:26-27 : « Kadhalika, naye Roho anatusaidia katika udhaifu wetu. Maana hatujui inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa mlio wa huzuni [kuuguwa] usioelezeka. Naye Mungu aonaye mpaka ndani ya mioyo ya watu, anajua fikira ya huyo Roho; kwani huyo Roho huwaombea watu wa Mungu kufuatana na mapenzi ya Mungu » ;   2. ...